Letra Nataka Kulewa de Diamond Platnumz

Letra de Nataka Kulewa

Diamond Platnumz


Nataka Kulewa
Diamond Platnumz
(0 votos)
We niache niende niende! niende niende!
Niache niende niende, niende niende!

(verse1)
Uh, usiniulize kwanini, sababu utanizingua
Ukitaka jiunge na mimi, kama ni pesa we kunywa nitanunua
Mi mwanzo sikuamini, nikajuaga vya kuzua
Kumbe mjinga ni mimi, ninayetunza wenzangu wanachukua
Oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
Oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Na nina mengi, ah yamenikaa moyoni

(chorus)
Leo nataka kulewa, Lewa!
Mi nataka kulewa, Lewa!
Nataka kulewa, Lewa!
Zikipanda nimwage radhi
Nataka kulewa, Lewa!
Mi nataka kulewa, Lewa!
Nataka kulewa, Lewa!
Zikipanda nimwage radhi
We niache niende niende!, niende niende!
Niache niende niende, niende niende!

(verse2)
Mi kwa mapenzi maskini, nikamvisha na pete kwa kumuoa
Kukata vilimi-limi, vya wazushi wanafiki wanaomponda
Kumbe mwenzangu na mimi, ni bure tu najisumbua
Si tuko kama ishirini, mabuzi ving'asti wengine anawahonga
Oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
Oh mapenzi, [mapenzi] yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Na nina mengi, ah yamenijaa moyoni

(chorus)
Leo nataka kulewa, Lewa!
Mi nataka kulewa, Lewa!
Nataka kulewa, Lewa!
Zikipanda nimwage radhi
Nataka kulewa, Lewa!
Mi nataka kulewa, Lewa!
Nataka kulewa, Lewa!
Zikipanda nimwage radhi
We niache niende niende, [Kulewa, kulewaa] niende niende!
Niache niende niende, [Kulewa, kulewaa] niende niende!
[Kulewa, kulewaa]
[Kulewa, kulewaa]
[Kulewa, kulewaa]


Comparte Nataka Kulewa! con tus amigos.


Que tal te parece Nataka Kulewa de Diamond Platnumz?
Pesima
Mala
Regular
Buena
Excelente