Letra Si Ulisema de Christian Bella

Letra de Si Ulisema

Christian Bella


Si Ulisema
Christian Bella
(0 votos)
Sitajuta kupendaa ingawa yaumiza moyoo
Ninaumizwa kukosaa na kupewa likizooo
Mimi sina makosa
Mapenzi ya hofu ni kawaida
Ni heri ukihisi jambo ulichunguze upate uhakika
Mimiii sina makosa mapenzi ya hofu ni kawaida
Ni heri ukihisi jambo ulichunguze upate uhakika

Si ulisema mwenyewe nisipige simu wala kutuma meseji
Na ukasema kwamba hupendi kuniona unaweza tokwa machozi
Tukigombana tunaelewana mwisho tunapuuzia
Hili limekaa haifai kunyamaziwa
Tukigombana tunaelewana mwisho tunapuuzia
Hili limekaa haifai kunyamaziwa

Wivu ninao mi binadamu nimekamilika
Ingawa muda sinao kila dakika naijutiaa
(?)

Sijui kwa nini tunakinzana
Akati najua tunapendana
Hatua zetu zinapishana
Kwenye safari yetu ya mapenzi

Si ulisema mwenyewe nisipige simu wala kutuma meseji
Na ukasema kwamba hupendi kuniona unaweza tokwa machozi
Tukigombana tunaelewana mwisho tunapuuzia
Hili limekaa haifai kunyamaziwa
Tukigombana tunaelewana mwisho tunapuuzia
Hili limekaa haifai kunyamaziwa

Lenye uhakika tulifate (Ye! ye)
Lisilouhakika tuliache (Ye! ye)
Si unajua nakupenda
Si unajua achana nao
Si unajua nakupenda
Juujuu achana naoo!

Si ulisema mwenyewe nisipige simu wala kutuma meseji
Na ukasema kwamba hupendi kuniona unaweza tokwa machozi
Tukigombana tunaelewana mwisho tunapuuzia
Hili limekaa haifai kunyamaziwa
Tukigombana tunaelewana mwisho tunapuuzia
Hili limekaa haifai kunyamaziwa

Hilo halifai kunyamaziwa
Hilo halifai kunyamaziwa
(Hilo haifai)! Haifaiiiii
Hilo halifai kunyamaziwa


Comparte Si Ulisema! con tus amigos.


Que tal te parece Si Ulisema de Christian Bella?
Pesima
Mala
Regular
Buena
Excelente