Letra Lazizi de Sauti Sol

Letra de Lazizi

Sauti Sol


Lazizi
Sauti Sol
(0 votos)
Verse 1:
Lazizi wangu we
Zawadi nono kutoka mbinguni
Nakuwaza my baby ( Nakuwaza my baby)
Nikikuwaza usiku silali

Chorus:
Nikikuona na wengine nashikwa na wivu
Naomba unipe number yako nikuvutie wire
Nikupeleke Java
Tunywe kahawa
Tukizubaa dubaa dubaa

Verse 2:
Mukhali wanje we
Shihanwa shyanje khurula khu-nyasaye
Ndakhuyanza my baby (Ndakhuyanza my baby)
Shihanwa shyanje khurula khu-nyasaye
Chorus

Bridge:
Zunguka zunguzukane
Nikitafuta kama wewe
Mi nafeel so nice
Unanipa mi amani
Mbele Baby
Sioni njia bila wewe
Wewe...eeeh Lazizi
Chorus
Mazoe manana (Mazoe manana ah)
Kadonangaeuta na lola, Na
Kanisakayo sheri nanga
Soki yo tena nzanga kapongi (Mpenzi)
Chorus


Comparte Lazizi! con tus amigos.


Que tal te parece Lazizi de Sauti Sol?
Pesima
Mala
Regular
Buena
Excelente