Nimekusahau
Nakumbuka tu lako jina
Kidogo angalu
Umengoa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau ah
Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau
Visenti haba mfuko umechina
Nando uwezo wangu ulipo ishia
Ningekupa nini tena
Kula yangu yakupapasia
(Hukumeza ukaatema)
Mimi sina gali
Ningekupa nini tena (ooohoohoo)
(Hukumeza ukaatema)
Eeeheeehee
Nishakusahau nakumbuka tuu lako jina
Kidogo angaluu
Umengoa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau anh
Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau
Visenti haba mfuko umechina
Nando uwezo wangu ulipo ishia
Ningekupa nini tena
Kula yangu yakupapasia {hukumweza ukaatema}
Mimi sina gali
Ningekupa nini tena (ooohoohoo)
{Hukumweza ukaatema}eeeheeehee